Tuesday, October 7, 2014

Abakwa akimtembeza Mbwa

 
  Mwanamume aliyetenda uovu huo anasakwa na polisi nchini Uingereza
Mmanamke mwenye umri wa miaka 40 amebakwa akiwa anamtembeza Mbwa wake katika mtaa wa Salford nchini Uingereza.
Alikuwa anatembea karibu na jumba la New Bank Towers siku ya Jumapili alipokutana na mwanamume mmoja ambaye hakumfahamu ila wlaitembea pamoja.

HABARI MPYA.

Michezo-Mwananchi

Burudani

MwanaspotiSoka