Abakwa akimtembeza Mbwa
Mwanamume aliyetenda uovu huo anasakwa na polisi nchini Uingereza
Mmanamke mwenye umri wa miaka 40 amebakwa akiwa anamtembeza Mbwa wake katika mtaa wa Salford nchini Uingereza.
Alikuwa
anatembea karibu na jumba la New Bank Towers siku ya Jumapili
alipokutana na mwanamume mmoja ambaye hakumfahamu ila wlaitembea pamoja.